ALHAJ DK.MWINYI ASHIRIKI SWALA YA IJUMAA MASJID TAUWHID FUONI

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itajitahidi kutoa msaada kwa kadri itakavyowezekana kwa taasisi zilizobeba dhima ya kuwasafirisha mahujaji kwaajili ya ibada ya Hijja, kupitia taasisi ya Wakhfu na Mali ya amana ili kuweka mazingira mazuri ya utekelezaji wa ibada ya hiyo inayotarajiwa kuanza hivi karibuni. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,